Kwenye ukurasa wake wa Instagram Zungu anasema:
Wanangu wa Upinzani sio kila kitu mnaweza kubeba kama ajenda msifanye hivyo 🙏yani kila kitu hata kama ni kizuri baadhi yenu mnajaribu kubadilisha ajenda kwa maksudi kabisa daah 😭😭😭
Hii timu sio ya Ccm wa Chadema ni ya kwetu Watanzania acheni hizo...
Mchezo wa Tanzania dhidi ya Morocco katika hatua ya 16 Bora ya AFCON 2025 unapigwa leo Januari 4, 2026, katika Uwanja wa Prince Moulay Abdellah, Rabat, Morocco. Huu ni mchezo wa kihistoria kwa Taifa Stars ambao kwa mara ya kwanza wamefanikiwa kufika hatua ya mtoano katika michuano ya Kombe la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.