Kwenye hili tusijali cheo cha mtu, wadhifa au umaarufu wake wote waadhibiwe vikali.
Kuna wengine wana kinga ambazo wamejiundia kwa kutumia bunge hilihili, basi tuwakabidhi kwenye mahakama za kidunia ambako hawana kinga za kipuuzi kama hizi.
Na vikao vijavyo vya bunge tuangalie namna ya...
Nalilia Taifa langu ila zaidi nalilia idara nyeti za usalama wa Taifa maana hakuna hata anayeona what will be next phase ya hili Taifa tumekimbilia siasa na sasa wenye akili wameshatuweza na niseme hakuna anayeona na kama yupo basi uwenda ushauri wake umepigwa chini ila mkumbuke mchuma janga...
hekima
kutuma
madini
mbalimbali
motivational quotes
nukuu
quotes
siasa afrika
siasa afrika mashariki
taifalangu
tanzania
tanzania 2025
tanzania kwanza
uchaguzi mkuu
uchaguzi mkuu 2025
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.