Aiseeeh, nafikiri huyu mzee anawapima aone anaweza kuwakasirisha kiasi gani.
Inakuwaje mkuu wa mkoa, anaongelea habari za wanaume kuhonga na kuwahamasisha wafanye hivyo kwenye kikao na watumishi wa Serikali?
Toeni neno moja kwake!
Full clip hii hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.