The Suzuki Swift (Japanese: スズキ・スイフト, Suzuki Suifuto) is a supermini car (B-segment) produced by Suzuki. The vehicle is classified as a B-segment marque in the European single market, a segment referred to as a supermini in the British Isles. Prior to this, the "Swift" nameplate had been applied to the rebadged Suzuki Cultus in numerous export markets since 1984 and for the Japanese-market Suzuki Ignis since 2000. The Swift became its own model in 2004. Currently, the Swift is positioned between Ignis and Baleno in Suzuki's global hatchback lineup.
Habari wadau
Ninachangamoto zifwatazo kwenye Suzuki swift M13a naomba ushauri tafadhari
1.kuwaka kwa tabu Asubuhi mpaka nikanyage accelerator Kwa muda 2.nikiwasha AC gari inatingishika na kuzima nikiwa nimepaki,
3.Engine inatoa ngurumo mkubwa kama land cruiser
4. Inatembea umbali mrefu bila...
Natamani kuinunua hii gari kwa mishe zangu za hapa na pale.
Unfortunately mimi si mjuzi kwa kina wa magari.
Ningependa kutambua uwezo wa ulaji mafuta, uimara wake, upatikanaji wa vipuli ikiwa ni gharama ya vipuli hivyo kama ni himilivu kwa mtanzania wa kipato cha kati hapa nyumbani tz na mambo...
Habari wakuu
Naomba niulizie stering rack, ya suzuki swift ,maana stering imekuwa ngumu.(Stering ya umeme ,siyo ya hydraulic).
Niko Kibaha maili moja
Piga 0713 039 875
Ndugu msomaji, namba yangu ni 0712 148001.
Magari nitakayopost kwenye uzi huu, bei yake ni milioni tano kushuka chini, usije kukubali kupigwa.
Nunua gari kuendana na uchumi wetu wa mitano tena.
WhatsApp 0712 148001.
bajaj
benz
brevis
carina
fuso
ist
kilimanjaro porters assistance project
kushuka
land cruiser
magari
mama salma
mama samia
mazda cx-5
mazda demio
mazdacx5
milioni
mitano tena
noah
passo
pickup
pilau la mama samia
prado
range rover
raum
simba fc
suzuki escudo
suzukiswift
toyota
vitz
wadau wa biashara
Baada ya kimya na ahadi za muda mrefu za CEO wa Tesla, Elon Musk, finally ile siku imewadia.
Ni tarehe 10 October, ambapo billionaire uyo atafanya uzinduzi wa huduma na bidhaa mbalimbali kutoka kwenye kampuni yake ya Tesla.
Event ina tittle “We Robot” ambayo tunaamini kaitoa kwenye series ya...
Habari zenu Wana ndugu nina mpango wa kumiliki Suzuki swift ila sasa nimeshindwa kufanya chaguo sahihi kati ya hizi new model toleo la 2006/8 na zile za kawaida za zamani.
Naomba kujua kwa wenye uelewa na magari, ipi nichukue ambayo ni Bora, imara, stahimilivu na inayotumia mafuta kidogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.