soko la sabasaba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    KERO Wafanyabiashara wa soko la Sabasaba, Dodoma: Tunalipa ushuru, lakini miundombinu ya soko ni mibovu — ushuru unaenda wapi?

    Baadhi ya Wafanyabiashara katika Soko la Sabasaba jijini humo wamelalamikia hali ya miundombinu mibovu ya mitaro ya majitaka, ambayo inasababisha maji chafu kupita karibu na maeneo yao ya biashara. Wafanyabiashara hao wanasema kuwa tatizo hilo linaathiri afya zao na kuharibu shughuli zao za...
  2. A

    KERO Wafanyabiashara wa soko la Sabasaba Sumbawanga tunadhulumiwa na Katibu wa CCM Mufindi

    Nawakilisha kwa Uchungu Mkubwa sana ukiwa ndani ya moyo wangu kutokana na Dhulma tunayofanyiwa na Katibu wa CCM Mufindi bwana Clement Bakuli. Soko la Sabasaba lilizuka baada ya sisi wahanga tuliounguliwa na moto katika soko la Mandela mwaka 2016 kupewa nafasi tuanzishe soko lingine. Tulianza...
  3. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Mbunge Hamida achangia 500,000/- kuboresha Ofisi ya Wafanyabiashara Soko la Sabasaba

    Mbunge wa Jimbo la Lindi Mjini,Hamida Mohammed Abdallah, leo Mei 7,2025 ametembelea eneo la soko la muda lililopo katika Kata ya Msanjihili, Mtaa wa Bank maarufu kama "Sabasaba" ambalo litakalotumika kwa muda na wafanyabiashara wa Soko Kuu la Lindi ili kupisha ujenzi wa soko jipya la kisasa la...
  4. Stephano Mgendanyi

    PreGE2025 Mbunge Mavunde Awawezesha Kiuchumi Wafanyabiashara wa Soko la Sabasaba Jijini Dodoma

    ▪️Awapatia miradi ya Kiuchumi na kutunisha mfuko wa Kikundi. ▪️Wafanyabiashara wamshukuru kwa kuwajali na kuwaendeleza kiuchumi ▪️Wampongeza Rais Samia kuboresha miundombinu ya masoko Jijini Dodoma 📍Dodoma Mbunge wa Jimbo la Dodoma mjini Mh. Anthony Mavunde ameahidi kuwaendeleza kiuchumi...
  5. Jimmywatanzania

    KERO Uchomaji wa taka nyakati za usiku Soko la Sabasaba, Dodoma

    Kumekuwepo na changamoto kubwa ya uchomaji wa taka kwenye soko la sabasaba jiji Dodoma, nyakati za usiku. Taka hizo ambazo ni mabaki ya majani ya migomba na mabaki ya matunda kutoka soko la "miti mirefu na PAG" imekuwa kero kubwa kwa sisi wakaazi wa uhindini. Wahusika watusaidie.
Back
Top Bottom