Wakuu,
Leo nimekuwa nikitafakari jambo moja ambalo limekuwa sehemu ya maisha yetu kila siku – simu za mkononi.
Ni ukweli kwamba simu imerahisisha mawasiliano, biashara, elimu na hata huduma za kijamii. Lakini kwa upande mwingine, kuna maswali makubwa:
Vijana wengi sasa wamelala na simu, kuamka...