Nimekaa nikachunguza kwa makini nimegundua kuna kundi kubwa la wasanii linajutia kuunga mkono ccm badala ya wananchi .
Hapa sana sana nawalenga haswa wale wasanii wa low class ambao walitumika kama toilet paper na kwa sasa kazi yao imekwisha wamerudi uraiani kuona hali halisi ya maisha na bila...
Magesa Inyasi, mwenye ulemavu wa macho na mkazi wa Musoma Mjini mkoani Mara amejipatia umaarufu mkoani hapo kutokana na kipaji chake cha kipekee cha kutunga nyimbo za papo kwa papo kulingana na matukio ya kijamii, kidini na kitaifa, huku akitumia mdomo na vidole vyake kuiga midundo ya vyombo vya...
Wakuu
Msanii Profesa Jay amesema baadhi ya Watu wanaowashambulia Wasanii kama Ay na wengine kutokana na kupanda kwenye majukaa ya Vyama vya siasa, hawawatendei haki kwasababu Tanzania ni nchi ya Kidemokrasia.
Kwenye mahojiano maalum na Mtangazaji Millard Ayo, Profesa Jay ameeleza yafuatayo...
Wakuu,
Balaa sana, japokuwa tunajua hii mitungi imetoka CCM, hivi si wakirudi kuanza kulialia kwa watanzania kuomba msaada tuwakache?
=====
Baadhi ya wasanii wa filamu nchini kwa kushirikiana na ofisi ya mkuu wa Wilaya ya Ilala mkoani Dar es Salaam, wamesheherekea siku ya kuzaliwa ya Rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.