shida ya maji mwanza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. WAZO2010

    DOKEZO Mwanza: Bilioni 700 za miradi ya alizotoa hayati Magufuli zimetafunwa? Jiji halina maji licha ya kuwa karibu na Ziwa Victoria

    Jiji la Mwanza lina kumbwa na Changamoto ya mgao mkali wa Maji. Huwezi kuamini Tz ni nchi ya aina gani? Na hali ya kushangaza Jii lililo mita 60 kutoka ukingo wa Ziwa Victoria Pande zote iwe Ilemela au Nyamagana. Mfano kituo cha Kliniki, Igombe, Sweya, Mkuyuni, Voil, Mswahili, Luchelele...
  2. M

    KERO Maji jijini Mwanza imekuwa kero sugu, wanafunzi tunapata shida sana

    Maji huku Mwanza imekuwa ni kero kubwa sana, wanachuo tunaishi kwa tabu sana tunapata shida kubwa ya maji ilihal tuko karibu na ziwa Victoria Sijui mnatusaidiaje kuepukana na hili. Tunalipia bili za maji kwa wakati lakini bado maji kuyapata ni changamoto. Ni siku ya 4 sasa maji hayatoki
  3. M

    KERO Changamoto ya maji Malimbe, Mwanza

    Malimbe asilimia kubwa ya wakazi ni wanafunzi wa chuo cha SAUT kwa asilimia 75 haichukui zaidi ya KM 10 kwa mkazi yeyote wa malimbe kufikia ziwa victoria lakini changamoto ya maji ni kubwa sana inafikia zaidi ya siku 4 mpaka 5 maji hayatoki. Tunaoba mlifanyie kazi hili tunaishi kwa taabu sana.
  4. A

    KERO Responded Wiki ya pili hakuna maji kata ya Buhongwa wilayani Nyamagana

    Wakazi wa mwanza, wilaya ya nyamagana kata ya Buhongwa maji yamekuwa ni changamoto sana, tuna wiki ya pili hatuna maji na kila mara hii hali hujirudia rudia. Tushalifikisha mpaka kwa mwenyekiti lakini jambo limekuwa kizungumkuti. Hii changamoto utatatuliwa lini? Pia soma KERO - Tatizo sugu...
Back
Top Bottom