Haya ndugu zangu
Lissu anaendelea kupitisha dozi huko. Hii statement alivyoitoa mahakamani kila mtu alicheka
Soma Pia:
Shahidi wa Kesi ya Lissu (P7): Nauli ya kuja mahakamani leo nimepewa na mwanamke wangu. Ndiye ananiweka mjini
Kesi ya Tundu Lissu kuendelea leo Februari 17, 2026, mashahidi...
Wakuu,
Kwa aliyeelewa maelezo ya shahid naomba anieleweshe. Kajikanyaga mno
Lissu alimtaka shahidi aonyeshe kama baadhi ya kauli alizodai zilisemwa kijiweni kwao ikiwemo madai kuhusu Chadema kuzuia uchaguzi, polisi kuiba kura na majaji kuwa vibaraka wa CCM zilikuwa zimeandikwa kwenye maelezo...
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, inatarajiwa kuendelea leo Februari 16, 2025, katika Mahakama Kuu, Masijala Ndogo, Dar es Salaam.
Shahidi wa saba anatarajiwa kuanza kutoa ushahidi wake kati ya mashahidi 30 wa Jamhuri, ambapo jumla ya mashahidi hao, 19 ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.