sera ya ubwabwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    CHAUMMA wanatendea sana haki sera yao ya Ubwabwa kwenye Mikutano lazima wananchi wale

    Wakuu, Nadhani CHAUMMA ndo chama kinachosimamia na kutekeleza Sera zake kwa uwazi Yaani sera ya Ubwabwa inasimamiwa ipasavyo, wananchi wanakula tena kwa mwenendo huu lazima watu wajae kwenye mikutano yao maana tunatika nyumbani bila bajeti ya mchana tunaenda kula ubwabwa wa CHAUMMA
  2. R

    PreGE2025 Mrema: Msichukulie Mzaha Sera ya Ubwabwa kwa wote

    Heee!! Jamaa yupo serious kabisa akifoka kuhusu ubwabwa, hivi haoni wala kujiuliza mifumo na watu wanaosababisha huo ubwabwa kukosekana kwa wanannchi? Wakuu wa JF inabidi tumfumbue macho kwa === Mkurugenzi wa Habari na Taarifa kwa Umma wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), John Mrema...
  3. E

    PreGE2025 Rungwe asisitiza Sera ya Ubwabwa akikaribisha wanachama wapya Chaumma

    DAR. Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Hashim Rungwe amesisitiza Sera ya chama hicho ya Lishe maarufu Ubwabwa akisema Taifa lisilo na lishe haliwezi kujiletea maendeleo. Ameyasema hayo leo alipokuwa akifungua mkutano maalum ya kukaribisha wanachama wapya wakiwamo wa kundi la...
  4. Cute Wife

    LGE2024 CHAUMA: Chagua viongozi wa CHAUMA na Sera ya Ubwabwa, huwezi kufanya maendeleo bila kushiba!

    Wakuu, Kuna vitu bila kujitoa akili huwezi kufanya :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: yaani kijana barobaro na akili zako unapita na kuhamasisha watu kuchagua ubwabwa! Kupata taarifa na matukio yote kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya...
Back
Top Bottom