Kumbe kazi siyo ndogo, hii bill kama Trump atatia saini kutakuwa na kilio na kusaga meno.
Mswada wa Marekani unaagiza kutathmini ushirikiano wa Tanzania na China kijeshi, kiuchumi na kisiasa.
=================
BACKGROUND
On December 4, 2025, the State Department announced a review of the...
Senators Jeanne Shaheen and Ted Cruz unveiled the Reassessing the United States-Tanzania Bilateral Relationship Act on May 19, directing a 90-day State Department review of diplomatic, security, and economic ties amid Tanzania's democratic backsliding.
The bill responds to the October 2025...
Huyu ni Senator Ted Cruz kutoka Marekani anazungumza katika kikao cha Kamati ya Bunge la Marekani kuhusu uteuzi wa Balozi wa Marekani nchini Tanzania, William Trachman.
Senator Cruz anasema kuwa serikali ya Tanzania imekuwa ikifanya mashambulizi dhidi ya uhuru wa dini, hasa kuwatishia Wakristo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.