scap muliro jumanne muliro

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DuaZaMama

    GE2025 Kamanda Muliro: Ukimchukia Polisi, Inawezekana Una Vimelea vya Uhalifu

    "Watu wengi wanatupigia simu Makongo Juu, Kitunda, Mwanagati, Kivule, Buza kule wanasema mbona nyie doria hamji huku? Tunakwenda. Watu wanatutaka twende. Kwahiyo ukiona mtu anachukia Polisi hajawa mwalifu ujue ana vimelea vya kiuhalifu." - Jumanne Muliro, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es...
  2. R

    SACP Murilo afanya ukaguzi katika Mkoa Kipolisi Ilala

    Picha mbalimbali katika ukaguzi wa Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam SACP Murilo Jumanne Murilo leo Septemba 24, 2025 Mkoa wa Kipolisi Ilala. Kamanda Murilo ameanza ukaguzi katika Mkoa wa Ilala kwa mujibu wa kanuni za Jeshi la Polisi ili kuhakikisha huduma bora za usalama...
  3. Mindyou

    Kamanda Muliro: Ndio maana sitaki kubishana, Jeshi la Polisi ndio lilimuokoa Sativa kule Katavi!

    Wakuu, Mnakumbuka ile clip ya Sativa baada ya kupatikana kule Katavi na akiwa amezungukwa na wananchi ambao ndio walijitolea kumpeleka hospitali na kuhakikisha anakutana tena na familia yake? Kama utakuwa hujaona hiyo clip, nimeiweka hapo chini. Ni clip inayomuonesha Sativa akiwa amezingirwa...
  4. Waufukweni

    Polisi watoa tamko maandamano ya CHADEMA Dar, Tumemkamata Mbowe, Lissu, Lema “Hawajatekwa”

    Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema wanawashikilia watu 14, wakiwemo mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe, Makamu Mwenyekiti-Bara, Tundu Lissu na mwenyekiti wa chama hicho kanda ya Kaskazini, Godbless Lema. Muliro amesema watu hao wamekaidi amri halali...
Back
Top Bottom