Chama cha ACT Wazalendo kimeonesha kutoridhishwa na namna Mbunge wa Same Mashariki mkoani Kilimanjaro, Bi. Anne Kilango Malecela anavyolihudumia jimbo lake kikisema kuwa alitoa taarifa za uongo bungeni kuhusu uwepo wa viwanda vya tangawizi jimboni humo, kinyume na uhalisia uliopo kwa wananchi...
Nikuhusu barabari ya LUGULU-NDUNGu yenye urefu wa kilomita 12, barabara hii tangu iharibiwe na mvua za msimu wavuli mwaka 2023 barabara hii haipitishi gari lolote.
Wananchi wakata Yalugulu tunapata shida, tunateseka sana maana hakuna usafiri wa magari hasa kipindi cha mavuno ya tangawizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.