saipulani ramsey

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    GE2025 Mwenezi CCM Arusha, Saipulani Ramsey: Uchaguzi ni jambo la kupita, asijitokeze mwanasiasa yeyote kuwaambia bodaboda muandamane

    Mwenezi wa Itikadi, Siasa na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha, Saipulani Ramsey, amekutana na zaidi ya waendesha bodaboda 300 jijini Arusha na kuwasihi kutoshiriki maandamano yanayodaiwa kuratibiwa kupitia mitandao ya kijamii tarehe 29 Oktoba, akisisitiza umuhimu wa kulinda...
  2. Waufukweni

    GE2025 Arusha: CCM yatangaza wagombea 160, Olasiti na Ererai kusubiri uamuzi wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha kimeingia katika hatua mpya ya mchakato wa uchaguzi, huku hali ya kisiasa ikichukua sura mpya baada ya kutangazwa kwa majina ya wagombea 160 kutoka Kata mbalimbali watakaowania nafasi kwa tiketi ya chama hicho. Akizungumza na waandishi wa habari leo...
  3. upupu255

    PreGE2025 Katibu Mwenezi Arusha, Saipulani Ramsey: 'No Reform No Election' ni kachumbari tu inayochagizwa kuliwa kwa Pilau

    Wakuu Katibu wa Siasa, Uenezi na Mafunzo Mkoa wa Arusha, Saipulani Ramsey ameendelea kusisitiza kuwa Uchaguzi Mkuu uko pale pale Tunafanya uchaguzi miaka yote sio kwasababu ya TAMKO au MATAMKO, bali kwasababu ni takwa la kikatiba lililotokana na VIKAO halali vilivyopewa nguvu ya Kisheria...
Back
Top Bottom