rs berkane

Renaissance Sportive de Berkane (Arabic: نادي النهضة البركانية) commonly referred to as Nahdat Berkane or RS Berkane for short, is a Moroccan professional football club based in Berkane, that competes in Botola, the top flight of Moroccan football.
Founded on 21 May 1938 and changed its name in 1978, the club has traditionally worn an orange home kit since inception. RS Berkane is a well known club for the success of its football section, very popular in and outside the country. Berkane established itself as a major force in both Moroccan and African football.
In domestic football, the club has won the league title once and the Moroccan Throne Cup title three times. In international competitions, Berkane have won 3 trophies; two CAF Confederation Cup titles and one CAF Super Cup title. Berkane is also, one of the most successful Moroccan club of the 21st century, and is the 3rd most crowned Moroccan club in Africa with 3 titles in official competitions.

View More On Wikipedia.org
  1. Tuwe Wanamichezo na kamwe tusiwe Mashabiki, Simba SC hata tungecheza na RS Berkane mara 10 tungefungwa nao, na Ushindi kwetu Kwao ni Sare / Suluhu

    Mo Dewji atulie na asajili Wachezaji wa maana wa Kamaifa na wenye Uzoefu wa Mechi za Kimataifa ili wakusaidie katika Mechi za Kimataifa na vile vile katika Ligi ya Ndani (NBC Premier League) ambayo Kwao (hawa Wachezaji wa Kimataifa na wenye Uzoefu) itakuwa ni kama tu kufanya Mazoezi. Wala...
  2. Ratiba ya sherehe za ubingwa wa RS Berkane kombe la shirikisho

    RS Berkane ana uhakika asilimia 💯 kuchukua ubingwa 1. Kesho saa 1 kamili asubuhi kombe litatua Dar es Salaam, na kupokelewa na mashabiki wao wa Tanzania. 2. Parade la ubingwa kuelekea viwanja vya jangwani, kupitia mitaa ya Msimbazi 3. Viongozi, wachezaji na mashabiki wa Simba watapata fursa...
  3. Amini nawaambia, Simba SC anakwenda kumfunga RS Berkane, kuhusu kubeba kombe tumwachie Mungu

    Simba sc msimwage damu kuelekea hii mechi, toeni sadaka safi, hakika Mungu atakisia kilio chenu, washirikisheni viongizi wa dini kama mlivyifanya robo fainal. Nyota ya mchezo ipo upande wenu, msije mkafanya makosa, nasisitiza msimwage damu. Turudi kwenye mada, wakuu siyo mara ya kwanza rs...
  4. Matokeo niliyoyaona jana usiku Simba SC 🆚 Rs Berkane

    Jana mnamo saa Nane Usiku niliota ndoto ya Matokeo ya fainali kombe la shirikisho Afrika mkondo wa pili kati ya SIMBA SC ya TANZANIA dhidi ya RS BERKANE kutoka Morocco. Mechi ilianza Kwa Kasi sana na Simba mnamo dk ya 15 walipata mkwaju wa penalty na Steven Mukwala akaweza kukwamisha mpira...
  5. L

    Tabili mbalimbali kuelekea fainali ya Simba na RS Berkane 2025

    Nitakua nawaletea watu mbalimbali watakao kua wanatabili matokeo ya mchezo wa fainali kati ya Simba na RS Berkane utakaochezwa Tanzania. Hata wewe mwana JFS unaruhusiwa kutabili ili mwisho wa siku tuone nani ni mtabili Bora. Naanzia na huyu. https://vm.tiktok.com/ZMSLpW8Tq/
  6. FT: RS Berkane 2-0 Simba SC | Fainali CAF Confederation Cup | 17 Mei, 2025

    RS Berkane VS Simba SC | Fainali CAF Confederation Cup | 17 Mei, 2025 Mashabiki wa Mnyama tayari wameanza kufanya kazi yao Timu imeondoka kambini kwenda uwanjani. Kikosi cha Simba tayari kimewasili Uwanjani Vikosi na mfumo kwa kila timu
  7. N

    RS Berkane vs Simba. Mechi itaisha kwa RS Berkane kushinda kuanzia goli tatu, Simba ataambulia sifuri!

    Nikiwa kama shabiki wa Simba nimejaribu kuangalia mechi tano za Rs Berkane nimegundua jamaa wapo vizuri kwenye idara zote na huwa wanacheza kimkakati zaidi. Rs Berkane wanaizidi Simba katika idara zote na mipango mikakati kuelekea kwenye mechi ya kwanza ya fainali, kikosi chao ni bora karibu...
  8. Mwamuzi aliyekataa goli la Aziz K dhidi ya Mamelodi amepangwa kuchezesha fainali Simba VS RS Berkane Mei 25, Zanzibar

    CAF imemteua mwamuzi wa kimataifa kutoka Mauritania, Dahane Beida, kuchezesha mchezo wa marudiano wa fainali ya Kombe la Shirikisho barani Afrika kati ya Simba SC na RS Berkane utakaopigwa Mei 25 huko Zanzibar. Hawa ndio waamuzi wa VAR kwa mchezo wa Simba dhidi ya RS Berkane • Mkuu wa VAR...
  9. Mwana FA: Fainali ya Simba dhidi ya RS Berkane itachezwa Benjamin Mkapa

    Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na michezo, Hamis Mwinjuma (Mwana FA) amesisitiza kuwa Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Simba SC na RS Berkane itachezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, Mei 27, 2024 kwa kuwa Serikali imefanya jitihada mbalimbali za...
  10. Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said acha huu Upuuzi ambao Utakugharimu kwani Wewe ndiyo unashirikiana na RS Berkane ili Fainali CAFCC isiwe kwa Mkapa

    Halafu ulivyo wa hovyo unajifanya hujui lolote wakati unatumia Nafasi yako CAF ili Kuiumiza Simba SC kwa hili la Uwanja.
  11. VIDEO: Hali ya Uwanja wa Mkapa ambao ulitarajiwa kutumika mechi ya Simba SC vs RS Berkane

    Tazama hali ya sasa Uwanja wa Mkapa ambao ulitarajiwa kutumika katika mechi ya Kombe la Shirikisho Simba SC vs RS Berkane
  12. Mbinu na uchambuzi kuhusu RS Berkane

    Jana niliwafatilia RS Berkane katika mechi yao ya Ligi Kuu ( Botola Pro ) vs Maghreb Fez , nilipata angalau 50% ya kufanya tactical analysis ✍🏻RS Berkane wapo well oiled machine ✍🏻Utimamu wa mwili & Energy ya kutosha ( hasa hasa katika electric counter attacks and possession ball ) ✍🏻Ruthless (...
  13. Za ndanii kabisa: Rs Berkane wameliomba shirikisho la Soka Africa(CAF), Mchezo Wao dhidi Ya Simba Sc siku hiyo wajifunge Misuli tu

    Naaam! Hayawi hayawi Sasa yamekua Mtoto akililia wembe MPE, ndiyo hayo siyo maneno yangu Bali ni maneno ya Wahenga na kiuhalisia kabisa hii fainali Simba SC waliitaka kwa hali na Mali ili wapoze machungu ya Mashabiki Wao Wenye uchu ya makombe na kuona timu Yao ikipiga hatua kimataifa na siyo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…