rpc richard abwao

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. figganigga

    JamiiForums Tanzania Wakati Polisi wakimuaga RPC Richard Abwao, sisi tunasubiri kuaga miili ya ndugu zetu tangu 29.10.2025. Tunaiomba hiyo miili tafadhali

    Baadhi ya askari wa jeshi la polisi wakitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) na kamanda wa polisi mkoa wa Tabora, Richard George Abwao aliyefariki dunia Juni 20 mwaka huu katika hospitali ya Muhimbili Dar es Salaam wakati wa tukio la kuaga nyumbani...
  2. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania RPC Richard Abwao: Tabora inalindwa na wananchi wenyewe

    Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Tabora, Richard Abwao, amesema kuwa wananchi wa mkoa huo ndio walinzi wa kwanza wa amani na amewapongeza kwa ushirikiano mzuri na jeshi la polisi, hasa katika kipindi hiki cha kampeni kuelekea uchaguzi mkuu. Soma pia GE2025 - RPC Marko Chilya: Hakuna anayeweza...
Back
Top Bottom