ACT kilikuwa chama cha kwanza kuhitaji reforms za kikatiba ili zitusaidie kwenda kwenye uchaguzi huru na wa haki.
Lakini hakuungwa mkono akaonekana msaliti anatumiwa na CCM kuiremba katiba.Na wakosoaji wakaenda mbali wakasema wao wanataka katiba mpya sio reforms.
Kiuhalisia ACT sio chama...
Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum na kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Cecilia Paresso amesema kuwa "No reforms no election" ilishafanyiwa kazi ndani ya Bunge ikiwemo mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi na mabadiliko ya sheria na utekelezaji wake umeanza katika uchaguzi wa mwaka huu.
Soma pia...
Chama cha NCCR-Mageuzi kimefanya uchaguzi wake mkuu na kumchagua Evaline Munisi kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.
Katika uchaguzi huo uliofanyika leo, Machi 30, 2025, katika Ukumbi wa St. Gaspar jijini Dodoma, Evaline Munisi alipata kura 34, akimshinda Saganda...
The Imperative of Leadership Renewal in Tanzania
A Car Service Analogy by H. POLEPOLE
Tanzania's political system, much like any intricate machinery, necessitates consistent maintenance and periodic major overhauls to ensure optimal functionality. The analogy of servicing a car offers a clear...
Katika mambo ambayo CCM wamefaulu ni kujipenyeza na kuweka mizizi kwenye kila ofisi ya umma.
Ofisi zote za umma CCM wameziweka kwapani.
That's why Gwajima alisema CCM iwape CHADEMA reforms na si INEC yenye mamlaka.
Kwahiyo reforms zikitoka ni zile structured kutoka ofisi ya CCM ambazo ni...
Wakuu,
Nimeona Nchimbi ameenda kukutana na mabalozi wa EU. Je hii ina maana kwamba watakuwa wameenda kuzungumzia masuala ya kisiasa nchini na kuhusu No Reforms No Election?
Hapa sidhani kama wameenda kuzungumzia mambo ya kiuchumi maana wangemuita Jafo. Ila kama wamemuita Nchimbi maana yake ni...
Kwa Maslahi Mapana ya Taifa kwa sasa hakuna haja ya ku tick 2025 .kiuzalendo zaidi tunahitaji mabadiliko makubwa sana katika mfumo wa uchaguzi na katiba kwa ujumla.
Binafsi naamini kama Mama akikubali kwamba kwa sasa tunahitaji mabadiliko kwanini katika hii miaka miwili tukatafuta katiba Mpya...
Katika kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, mjadala kuhusu Marekebisho ya Mfumo wa Uchaguzi (Reforms) haukwepeki. Kuna wanaosema reforms tayari zimefanyika, huku wengine vikisema bado kuna kasoro na wengine wakisema hawatashiriki Uchaguzi hadi kasoro hizo zishughulikiwe
Maswali muhimu ni je, 'Reforms'...
Haya ni maneno ya Mzee Butiku:
Kwamba Samia anayajua, kumbe shida nini?
Kama angependa kuendelea hata kama kina M7 si aseme tu?
Ya nini kuitisha chaguzi viini macho?
Ya nini kusumbua watu magerezani au hata kuwa na vyama vya siasa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.