rasirimali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Life2

    Viongozi Madikteta na kauli mbiu yao ya kulinda rasilimali

    Dikteta ni nini/nani. ni mfumo ambapo kikundi cha watu wachache au mmoja wanatawala nchi kwa mtutu, wakiwa juu ya sheria, wakiua watawaliwa, kuteka, kubaka na hata kunyanganya mali za watu. Sifa kuu ya madikteta ni kuvishika na kuvitawala vyombo vya ulinzi na Usalama. Kwa nyakati za hivi...
  2. baz kaiza

    Tunaka Rais mwenye kutoka na kukemea rushwa na kusimamia maadali ya Utumishi wa Umma na kulinda rasilmali za nchi bila uoga

    Tunataka Rais mwenye kutoka na kukemea rushwa na kusimamia maadali ya Utumishi wa Umma na kulinda rasilmali za nchi bila uoga
  3. Replica

    Nimependa jinsi kijiji cha Namalembo walivyopanga mji wao pamoja na kutokuwa na rasimali fedha na wasomi kama mijini

    Kijiji cha Namalembo kinapatikana kata ya Msikisi wilaya ya Masasi mkoani Mtwara. Shughuli kubwa ya kiuchumi kwenye kijiji cha Namalembo ni Kilimo huku Mahindi na ufuta ikiwa ni mazao yanayolimwa zaidi moja likiwa la chakula na lingine biashara. Kijiji cha Namalembo(Picha kwa msaada wa Google...
Back
Top Bottom