Rais wa Nigeria, Bola Tinubu, ametangaza hali ya dharura ya usalama nchini kote kufuatia msururu wa mauaji na utekaji wa watu.
Rais Bola Tinubu, katika taarifa iliyotolewa kutoka Ikulu na kuchapishwa kupitia mtandao wa kijamii wa X (zamani Twitter) siku ya Jumatano, ameagiza idara ya polisi...
Rais wa Nigeria, Bola Tinubu, amefanya mabadiliko makubwa katika uongozi wa jeshi huku nchi hiyo ya Afrika Magharibi ikiendelea kukabiliana na ongezeko la vurugu kaskazini na changamoto nyingi za kiusalama. Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya serikali kukanusha tetesi za jaribio la mapinduzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.