Rais wa Madagascar, Michael Randrianirina, ambaye alichukua madaraka kufuatia maandamano ya Oktoba 2025, amemfuta kazi Waziri Mkuu na kuvunja baraza lote la mawaziri siku ya Jumatatu Machi 9, 2026, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na msemaji wake.
Aidha taarifa hiyo iliyotolewa na Harry...
Kikosi maalum cha Kijeshi nchini Madagascar cha 'CAPSAT' kimetangaza kuchukua madaraka, kikimwondoa madarakani Rais Andry Rajoelina, baada ya Wabunge katika Bunge la kitaifa kupiga kura ya kumwondoa, licha ya Rais Rajoelina kutangaza kulivunja kabla ya kura kupigwa.
Kwa mujibu wa #BBCNews...
Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina, ameondolewa madarakani kupitia kura ya bunge iliyopitishwa kwa kishindo.
Katika kura hizo, wabunge 130 waliunga mkono hoja ya kumng’atua, huku kura moja ikiwa tupu.
Hatua hii imejiri saa chache baada ya Rajoelina kulivunja bunge na kukimbia nchi kufuatia...
Rais Andry Rajoelina anayekabiliwa na upinzani mkali nchini Madagascar ametangaza kulivunja Bunge la Taifa mara moja
Hatua hiyo imekuja muda mfupi baada ya upinzani kutangaza kuwa utaanzisha mchakato wa kumng’oa madarakani kwa madai ya “kuacha wadhifa wake na kukimbia wajibu wake wa kazi”...
Ofisi ya Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina, imesema kuwa kuna jaribio la kuchukua madaraka kwa njia isiyo halali na kwa kutumia nguvu nchini humo.
Masaa machache baadaye, kikosi cha jeshi kinachojulikana kama CAPSAT kilitangaza kwamba kimechukua uongozi wa kamandi kuu ya jeshi, na sasa...
Rais wa Madagascar Andry Rajoelina amemteua Jenerali wa Jeshi 'Ruphin Fortunat Zafisambo kuwa Waziri Mkuu licha ya Waandamanaji kutaka Rais ajiuzulu
Uteuzi wa 'Ruphin Fortunat Zafisambo' umefanyika wiki moja baada ya Rais Andry Rajoelina kuvunja baraza lake la mawaziri kufuatia siku kadhaa za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.