rais samia haonekani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Father of All

    PostGE2025 Tangu aongee na 'wazee' wa Dar mbona Rais Samia haonekani?

    Kichwa cha habari kiko wazi. Ukweli ni upi? Nini maana ya Mwigulu kusema kuwa hata akiwa waziri mkuu wa wiki moja yatosha? Je, anaumwa? Je,ameaga kama wanavyosema wasiomtakia wala kututakia mema? Je, anatafakari kamba mpya au kutubia madhambi ya kuuawa kwa Gen Z wetu? Yuko wapi Samia?
  2. Gabeji

    Rais Samia yuko wapi kwa sasa?

    Bila shaka ni wazima wa afya njema?! Napenda kujua kwa sasa alipo Saisi mama Samia, yupo cuba bado au amerudi Tanzania? Kikatiba nina haki kujua Rais alipo. Mnao juu taarifa tafadhali tuambieni. Mungu ibariki Tanzania. By mwinjilist wenu Gabeji
Back
Top Bottom