rais samia 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. PostGE2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao Kazi cha Mawaziri, Naibu Mawaziri

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao Kazi cha Mawaziri, Naibu Mawaziri, Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu kilichofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 19 Novemba, 2025.
  2. R

    GE2025 Makonda atua kwa Mafundi Gereji Kuomba kura kwa Rais Samia, waahidi Mitano tena

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, ameendelea na kampeni ndani ya jimbo hilo ambapo alikutana na Umoja wa Mafundi wa Suye Garage, ambapo aliwahimiza kushiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 Akizungumza...
  3. R

    GE2025 Ole Sendeka: Rais Samia hata ukimuangalia usoni kwa moyo wa upendo alionao hawezi kuhusika na Utekaji, ni kiongozi mwenye upendo wa dhati kwa nchi

    Mwanasiasa mkongwe na Mbunge wa zamani wa Simanjiro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Christopher Ole Sendeka, amepinga vikali matukio ya utekaji yanayoripotiwa kutokea nchini, akiyataja kuwa ni vitendo vya hovyo na visivyokubalika katika taifa linalothamini haki na utu wa binadamu Akizungumza...
  4. R

    GE2025 Kada wa CCM, Baraka Shamte: CCM lazima imsaidie na kumtetea Rais Samia kwa huu unafiki, usaliti na propaganza zinazoendelea Mitandaoni

    kada wa chama cha mapinduzi (CCM), Baraka shamte amewataka chama kimsaidie Raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hssan katika kumsafisha kwa propaganda zinazotokea kwenye mitandaoo ya kijamii Chanzo: Mnana TV
  5. R

    GE2025 Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula, atoa Kauli Kuhusu Mkutano wa Rais Samia na Kadinali Rugambwa

    Kupitia ukurasa wa Mtandao wa Kijamii Facebook Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula ameandika kuhusiana na Mkutano wa Rais Samia anayemaliza muda wake na pia ni Mgombea Urais Kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) kukutana na Viongozi wa Kanisa Roman Katoliki Muadhama Protase Kadinali Rugambwa na Askofu...
  6. (TBT) Rais Samia: Mkiambiwa Rais wenu ni muuaji waambieni ndiyo ameua nguvu hasi ya wapinzani

    Moja ya hutoba za rais samia miezi michache iliyopita alisikika akisema haya? ''Mkiambiwa Rais wenu ni muuaji waambieni ndiyo ameua nguvu hasi ya wapinzani'' Soma pia: H Polepole: Serikali ni kama nyumba isiyo na mwenyewe
  7. Y

    FULL TEX AFYA KATAVI: Rais Samia amejenga Vituo Vya Afya 59, Zahanati 47 na kila Wilaya amejenga hospitali mpya moja ndani ya miaka minne

    == Ndugu Wananchi, akizungumza na wanahabari, Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mhe. Mrindoko, amesema: “Chini ya Rais wa Awamu ya Sita, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mkoa wa Katavi umepokea jumla ya Shilingi Bilioni 41.628 kwa sekta ya afya katika kipindi cha 2020/21–2024/25. Fedha hizi zimetumika...
  8. GE2025 TK Movement Kilimanjaro waahidi kumtafutia Rais Samia kura za ndio

    Mratibu wa TK Movement Mkoa wa Kilimanjaro, Ahmed Karia amesema kuwa Umoja wa Vijana wa TK, watamtafutia Rais samia Suluhu Hassan ambaye ni Mgombea Urais kwa Tiketi ya CCM pamoja na Makamu wake Emanweli Nchimbi Kura za Ndio. Soma pia: BAWACHA: TK Movement ni Jukwaa la Samia na CCM, hatuhusiki...
  9. Hebu tujikumbushe kidogo elimu ya mgombea urais wa CCM

    Hivi unaijua elimu ya Rais Samia kwa mtaala wa Tanzania? Hivi mnajua kuwa kidato cha nne hakufanya vizuri? Hivi mnajua huyu ndiye Rais wetu na hii ndiyo level yake ya elimu? Baada ya hapo akaenda chuo kikuu cha mzumbe kusomea diploma ya utumishi wa umma. Soma pia: Polepole: Mchakato wa CCM...
  10. Washauri anaoendelea kuwashikiria rais Samia siku si nyingi watampeleka shimoni

    Wakuu mnasemaje juu ya washauri wa mama? Maana namna wanavympeleka na mashauri yao mbona kama mashimo yao yapo hadharani sana? Nae haongezi chochote, ana beba ushauri kama ulivyo. Tumpe kwanza heshima yake Masoud Kipanya!
  11. GE2025 Roma Mkatoliki amjia juu Rais Samia kwa jambo analotaka kulifanya kuteketeza bilion 700 kwa ajili ya uchaguzi usio na mbele wala nyuma

    Anaandika anasema "Like seriously unaenda kuteketeza Tsh. 700+Billions kuingia kwenye uchaguzi kushindana na hawa‼️⁉️ Kweli Mama hao ndio washindani wako na unapata amani kuingia madarakani? Na unashika Mic unasema Wataweza Kweli?😁 No disrespect kwa hao wapinzani!! BUT BIG ❌️ Nchi ina...
  12. Ni kweli Rais Samia akataa uwanja wa Nzuguni kuitwa kwa jina lake au kuna sababu za kimkakati

    Rais Samia Suluhu Hassan ameutunuku jina la Dkt. John Samuel Malecela uwanja wa Nzuguni mkoani Dodoma, ikiwa ni sehemu ya kilele cha maadhimisho ya kitaifa ya Nanenane yanayofanyika mkoani humo. Akihutubia katika hafla ya maonesho ya 32 ya kilimo, mifugo na uvuvi, Rais Samia amesema awali...
  13. GE2025 Arusha: Waliosema Rais Samia asichanganye Siasa na Mila, walipa faini ya Dume la Ng'ombe na kukwepa kuchapwa Fimbo 70

    Vijana wawili wa jamii ya kimasai Mkoani Arusha wamepigwa faini ya Dume moja badala ya kuchapwa fimbo 70 baada ya kumkashifu Rais Wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika eneo la kata ya Elerai Mkoani Arusha. Akizungumza katika Mkutano wa Mila ulioitishwa ili kulaani kitendo hicho Kiongozi wa...
  14. PreGE2025 Jakaya Kikwete: Rais Samia akichaguliwa tena Taifa litazidi kupata maendeleo makubwa

    My Take Linapokuja Suala la delivery,Samia ni next level,tunae Rais anaeleta matokeo.JK Yuko sahihi Pia soma Pre GE2025 - Rais Samia na Miaka 4 ya Uongozi wenye Neema, Watanzania Waogelea Kwenye Mafanikio huku Akijenga Dira ya Tanzania Mpya
  15. PreGE2025 Joseph Kusaga: Mwaka 2025, Mama ndiye Rais wetu

    Wakuu Joseph Kusaga, Mkurugenzi Mtendaji Clouds Media Group akizungumza kwenye tukio la Uzinduzi wa Malkia wa Nguvu amesema "Huu ni mwaka tunakwenda kwenye uchaguzi na uchaguzi wetu tumeshasema mama ndiye Rais wetu. Mimi Sina Chama ndio maadili ya shughuli ninayofanya lakini mama amepewa...
  16. PreGE2025 Siku ya Wanawake Duniani watumishi wasilazimishwe kununua vitenge vyenye picha ya Rais Samia, itakuwa uonevu

    Wakuu, Jana kulikuwa na uzinduzi wa vitenge maalum kwa ajili ya siku ya wanawake. Malalamiko yalijitokeza kuhusu vitenge hivyo kuwa na picha ya Rais ilhali tukio lilikuwa ni la kitaifa na sio la kisiasa. Tunaomba kama vitenge vina picha ya Mwenyekiti wa CCM, watumishi wa umma wasilazimishwe...
  17. Rais Samia apewa Tuzo ya Gates Goalkeeper Award

    https://www.youtube.com/live/gwDU3yG1pk4 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan Amepokea Tuzo ya Gates Goalkeeper Awards Hyatt Regency Hotel Dar es salaam, leo tarehe 04 Februari, 2025. Akizungumza baada ya kupokea tuzo hiyo ametoa hutoba ambapo Rais Samia ameeleza...
  18. PreGE2025 Mwenezi CCM mkoa wa Arusha: Arusha tutampa kura za kishindo Rais Samia

    Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Arusha Saipulani .A. Ramsey amesema wao kama mkoa wanamuombea Mungu Rais Samia Ushindi wa Heshima na watanzania wote wakae tayari kuyapokea maisha mazuri katika miaka mitano mingine ya Dkt.Samia Suluhu Hassan iliafanye ile kazi ya wananchi kwa kuyapokea...
  19. Unafiki wa wanasheria wa Tanzania

    Toka katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iweke ukomo wa mtu kukaa kwenye nafasi ya urais kwa miaka 10 kwa vipindi vya miaka 5, mgombea wa CCM aliye na stahiki ya kugombea mhula wa pili baada ya kumaliza mhula wa kwanza hashindanishwi na wenzake ndani ya chama chake. Ilikuwa hivyo toka kwa...
  20. L

    Kesho Mtaniona Live na kunifahamu nitakaposhiriki Kwenye maandamano makubwa Mkoa wa Songwe Ya kumpongeza Rais Samia kwa kuteuliwa Kugombea Urais

    Ndugu zangu Watanzania, Siku ya kesho ya Jumamosi natarajia kushiriki katika Maandamano Makubwa Mkoa Wa songwe ya Kumpongeza RAIS wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Kwa kuteuliwa kupeperusha bendera ya Urais katika Uchaguzi Mkuu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…