Wakuu,
Aliyekuwa Rais wa Korea Kusini, Yoon Suk Yeol, Ijumaa aliomba radhi kwa kwa hekaheka zilizojitokeza kufuatia uamuzi wake wa muda mfupi wa kutangaza sheria ya kijeshi mwishoni mwa mwaka 2024,
Yoon alitoa kauli hiyo siku moja baada ya kuhukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kosa la...
Rais wa Korea Kusini, Lee Jae Myung, ameomba radhi rasmi siku ya Alhamisi kwa niaba ya taifa lake kutokana na usimamizi mbovu wa programu za uasili wa watoto nje ya nchi ambazo zilikuwa zimejaa udanganyifu na ukiukaji wa haki za binadamu. Hatua hiyo inakuja miezi kadhaa baada ya Tume ya Ukweli...
Wakuu,
Rais wa Korea Kusini, Yoon Suk Yeol, aliachiwa huru Jumamosi baada ya kushikiliwa kwa siku 52, baada ya upande wa mashtaka kuamua kutokata rufaa dhidi ya uamuzi wa mahakama uliobatilisha kifungo chake siku ya Ijumaa.
Yoon alikamatwa Januari 15 na kufunguliwa rasmi mashtaka Januari 26...
Rais wa Korea Kusini Yoon Suk Yeol amekamatwa kwa jaribio la kutangaza sheria ya kijeshi.
Tukio hili linaashiria mara ya kwanza katika historia ya Korea Kusini ambapo rais aliyeko madarakani amekamatwa
Yoon anakabiliwa na mashtaka ya uasi na ufisadi kutokana na tangazo lake la sheria ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.