Rais Andry Rajoelina amekimbia Madagascar ili kulinda maisha yake kufuatia maandamano ya kitaifa ambayo yalianza mwishoni mwa Septemba.
Rajoelina alithibitisha kupitia hotuba ya moja kwa moja kwenye Facebook siku ya Jumatatu kwamba amesafiri kwenda eneo salama, kufuatia ripoti na uvumi kwamba...
Kikosi maalum cha Kijeshi nchini Madagascar cha 'CAPSAT' kimetangaza kuchukua madaraka, kikimwondoa madarakani Rais Andry Rajoelina, baada ya Wabunge katika Bunge la kitaifa kupiga kura ya kumwondoa, licha ya Rais Rajoelina kutangaza kulivunja kabla ya kura kupigwa.
Kwa mujibu wa #BBCNews...
Rais Andry Rajoelina anayekabiliwa na upinzani mkali nchini Madagascar ametangaza kulivunja Bunge la Taifa mara moja
Hatua hiyo imekuja muda mfupi baada ya upinzani kutangaza kuwa utaanzisha mchakato wa kumng’oa madarakani kwa madai ya “kuacha wadhifa wake na kukimbia wajibu wake wa kazi”...
Rais wa Madagascar Andry Rajoelina amemteua Jenerali wa Jeshi 'Ruphin Fortunat Zafisambo kuwa Waziri Mkuu licha ya Waandamanaji kutaka Rais ajiuzulu
Uteuzi wa 'Ruphin Fortunat Zafisambo' umefanyika wiki moja baada ya Rais Andry Rajoelina kuvunja baraza lake la mawaziri kufuatia siku kadhaa za...
Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina, amevunja serikali yake Septemba 29, 2025 kufuatia kuongezeka kwa maandamano yanayoongozwa na vijana dhidi ya uhaba mkubwa wa maji na umeme. Umoja wa Mataifa umethibitisha kuwa mgogoro huo umesababisha vifo vya watu 22 na zaidi ya 100 kujeruhiwa, katika kile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.