Nakumbuka John Pombe Magufuli alivyokuwa anawatukana mapadre kwa kuungamkono chanjo na kuongea nao kwa dharau na kejeli. Kumbe wenzake wanaongea na Mungu! Hiyo hiyo covid ndiyo ilichangia kumuondoa.
Sasa Mama Samia yeye anajificha nyuma ya hawa watekaji. Polisi wanadiriki kupiga mpaka waumini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.