Wakuu,
Sasa Tumefika mbali, hadi watu tunaotegemea kuhimiza usawa, haki na amani kwenye nchi yetu nao wameanza kuwa Machawa
Hii imefika mbali wadau kama huyu ni Sheikh inamaanisha anawaongoza, kuwaaminisha na kuwataka waumini wake wake wasimame na mama Oktoba 29, 2025 siyo tena kuwa chaguo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.