Kashfa kubwa zilizoibuliwa ndani ya Bunge (2005–2015) wakati wa Utawala wa Mzee Jakaya Mrisho Kikwete, bunge lililojumuisha pumba na mchele (wabunge wa chama tawala na upinzani)
1. Richmond/Dowans (2006–2009)
Serikali iliingia mkataba wa dharura wa kuzalisha umeme na kampuni ya Richmond...
Mwenyekiti wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) Taifa, Shaban Itutu, amemtaka Rais mstaafu wa Tanzania na Mwenyekiti mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, kuomba radhi kwa umma wa Watanzania kutokana na kauli yake kuhusu ushindi wa CCM katika uchaguzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.