Jeshi la Polisi Mkoani Tanga limesema litaendelea kushirikiana na waandishi wa habari,ikiwemo kuangalia usalama wao wanapokuwa kazini hasa kwa muda huu wa uchaguzi.
Hayo yamebainishwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga Almachius Mchunguzi kwenye mdahalo wa ulinzi na usalama kwa waandishi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.