Onyo na matishio vya jeshi la Polisi linashangaza., kuhuzunisha hata kutia shaka mbali na kukera,
Naona kama wanahaha na kutisha jambo ambalo linazidi kupandisha Watanganyika hasira.
Wamegoma kujifunza tokana na Oktoba 29.
Ni dhahiri watarudia makosa
Nashauri wasifanye makosa
Waache wenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.