pikipiki kariakoo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    KERO Walinzi wa Halmashauri wanakamata Pikipiki Kariakoo kwa kuita "wrong parking" bila utaratibu

    Hapa Kariakoo kuna walinzi wa Halmashauri wanakamata Pikipiki bila utaratibu maalum na kuomba pesa kiasi cha elfu 50, uwape mkononi wanasema ni wrong parking. Hata Bodaboda akishusha tu abiria wanamkamata hapohapo, wanazikusanya na baadae wanaomba pesa. Ni uonevu mkubwa sana hilo suala...
  2. D

    Nahitaji pikipiki ya mkataba

    Habari, Naitwa device frabius mkazi wa Dar es Salaam Mikocheni natafuta pikipiki mpya iliyosimama kwa mkataba Kwa siku 10,000/= ikiwa boxer itapendeza zaidi, nahitaji kwasababu ya Bolt. 0617146950
  3. king kakaa

    Adha ya kamata kamata pikipiki Kariakoo

    Habari wakuu mimi ni kijana naishi Mikoa y kanda ya juu Kusini nimekuja Dar es Salaam Kama miezi mitatu iliyo pita namaanisha kukaa bila kuondoka Kwa muda mrefu. Japo huwaga nakujaga nakaa wiki nikimaliza kilicho nileta naondoka nilifanya hivi kwa muda mrefu. Sasa na kero moja niliyo ishuhudia...
Back
Top Bottom