Hapa Kariakoo kuna walinzi wa Halmashauri wanakamata Pikipiki bila utaratibu maalum na kuomba pesa kiasi cha elfu 50, uwape mkononi wanasema ni wrong parking.
Hata Bodaboda akishusha tu abiria wanamkamata hapohapo, wanazikusanya na baadae wanaomba pesa.
Ni uonevu mkubwa sana hilo suala...
Anonymous
Thread
bila
halmashauri
kariakoo
parking
pikipikipikipikikariakoo
utaratibu
walinzi
wrong parking
Habari,
Naitwa device frabius mkazi wa Dar es Salaam Mikocheni natafuta pikipiki mpya iliyosimama kwa mkataba
Kwa siku 10,000/= ikiwa boxer itapendeza zaidi, nahitaji kwasababu ya Bolt.
0617146950
Habari wakuu mimi ni kijana naishi Mikoa y kanda ya juu Kusini nimekuja Dar es Salaam Kama miezi mitatu iliyo pita namaanisha kukaa bila kuondoka Kwa muda mrefu.
Japo huwaga nakujaga nakaa wiki nikimaliza kilicho nileta naondoka nilifanya hivi kwa muda mrefu.
Sasa na kero moja niliyo ishuhudia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.