pesa ya mafao

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    Ni mwezi wa pili huu Nssf hawajatoa pesa ya mafao

    Mafao ya asilimia 33.3 hadi sasa ni kitendawili... Je Nssf iliichangia CCM pesa zetu? Kama hamkuchangia CCM, tupeni pesa yetu... Mlinisumbua sana wakati nafuatilia pesa hii... Licha ya kuwaambia kazi niliyokua naifanya sio profesional... Ila mlishindwa kutumia busara kunipa pesa yangu...
  2. C

    Huwezi kutajirika kwa Pesa ya Mafao baada ya kustaafu, Watumishi anzeni biashara mkiwa katika active age

    Watumishi wengi sijui ni kwasababu hawajazoea pesa za mkupuo au kwasbb ya kutokua na financial literacy, wana matumaini makubwa kutoboa maisha endapo wakilipwa pesa yao ya kustaafu pession, wengi kua frustrated na pesa wanao lipwa ambao haiwezi hata kuanzisha biashara ya min-supermarket mjini...
Back
Top Bottom