open university

An open university is a university with an open-door academic policy, with minimal or no entry requirements. Open universities may employ specific teaching methods, such as open supported learning or distance education. However, not all open universities focus on distance education, nor do distance-education universities necessarily have open admission policies.

View More On Wikipedia.org
  1. Nimepanga nisome open university degree ya ICT, Lakini malalamiko ya watu humu ni Mengi je ni uhalisia?

    Mimi ni mtumishi, Nilipata ruhusa ya kwenda masomoni lakini sikwenda kwasababu ya ukiritimba uliopo halmashauri kwamba ukienda masomoni basi uwezi kupanda daraja, na Mimi napanda daraja Mwakani, nimetimiza miaka mitatu ya ajira Sasa, naona nikasome kitu kingine, passion yangu ni Mambo ya...
  2. A

    DOKEZO Zaidi ya Wahitimu 300 wa Mahafali ya 44 ya Open University (OUT) wanasadikika wamefoji Matokeo ya Mitihani

    Wingu zito la sintofahamu limekikumba Chuo Kikuu Huria (Open University of Tanzania) baada ya kuibuka kwa tuhuma nzito zinazodai kuwa zaidi ya wahitimu 300 wa mahafali ya 44 hawakupata matokeo yao kwa njia halali. Tuhuma hizo zinaeleza kuwa asilimia 90 ya wahitimu hao ni watumishi wa umma...
  3. K

    KERO Chuo Kikuu Huria kina tatizo sugu ya kutopeleka taarifa NACTVET

    Chuo Kukuu Huria kimekuwa na tatizo sugu la kutopeleka taarifa NACTVET, watu wanamaliza masomo lakini wengine huwachukua mpaka miaka mitatu ndio taarifa zinatumwa NACTVET, na hapo mpaka uwe unafatilia. Kama siyo mfuatiliaji inakula kwako. Je, umeshawai kukutana na hii changamoto, embu...
  4. A

    KERO Maandamano ya Amani dhidi ya Uongozi mbovu na kukosakana uwajibikaji pale Open University (Chuo Kikuu Huria) yatakuwa tarehe 18 December 2025

    Kama tulivyojadiliana maandamano ya kupinga udhembe na kukosekana uwajibika miongoni ya walimu wetu na viongozi wa chuo pia yatafanyika 18 December 2025 kama tulivyokubaliana. Kero kwa miaka na miaka zimekuwa zikilalamikiwa na kupelekwa kwa viongozi husika ila kumekuwa hakuna mabadiliko imekuwa...
  5. A

    KERO Kama Chuo Kikuu Huria (Open University) kilitengenezwa kwa ajili ya Wanasiasa pekee, mngetuambia mapema

    Kwa miaka yangu mitatu niliyokuwa hapa chuoni nimeona Walimu wetu wakionyesha dharau na kutosimamia majukumu yao sawasawa na kwa wakati. Miaka yote kumekuwa na tatizo la kuchelewa kwa matokeo, unaweza kuwekewa matokeo wiki mbili baada ya Graduation na ukakosa nafasi ya ku-graduate mwaka husika...
  6. A

    KERO Open University wana tabia zikibaki siku chache mwaka wa masomo uishe au Graduation ndiyo wanaanza kusikiliza shida za wanafunzi

    Ni jambo la kipumbavu sana (Mods please naomba mniache, sisi watu wazima na watanzania tunafanyiana mambo ya kijinga sana hawajui wanakwamisha madeal kiasi gani kwa wanafunzi wao) Mfano una shida yoyote ya ki Academic unaenda mpaka Dar makao makuuu, supervisor wako anakukwepa, ukipiga simu...
  7. A

    Hivi hawa Open University wanashida gani? Au wanataka mpaka tuwalambe miguu

    Nimekuwa nikidai matokeo yangu tokea February nikaambiwa nisubiri. Nimemaliza research April nikategemea matokeo yatajazwa pamoja ila hakuna lolote. Yani hawa watu wanatutreat kama tunasoma bure na hatuna thamani yoyote. Yani leo ndiyo naambiwa inabidi nirudie mtihani wakati mara ya kwanza...
  8. Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi. Naomba ushauri ninahitaji kusoma open university course ya information kuanza na certificate

    Kozi ya ICT ndio nahitaji kuisoma kama kichwa kinavyojieleza...... naomba ushauri juu ya hilo katika maswali yafuatayo 1. Je inawezekana? 2. Naomba kujua ninaweza badilishiwa muundo wa elimu katika kada yangu ya elimu kwa kutumia cheti cha ICT baada ya kumaliza masomo? Ni hayo tu naombeni...
  9. Msaada wa Mawasiliano ya admission office Open University

    Habari za asubuhi wana JF, Niende moja kwa moja kwenye jambo langu. Siku kadhaa zilizopita nilijisajili na mfumo wa kuomba kozi mojawapo pale chuo kikuu huria. Nilikamilisha taratibu zote na baada ya hapo nikapewa password ili nikamilishe taratibu za maombi. Nilipotoka kwenye mfumo na kujaribu...
  10. Naomba kujua Utaratibu wa kujiunga Open University kwa mtumishi wa Umma

    Wakuu naomba Ushauri. Nahitaji kusoma shahada ya Kwanza (Degree) ila nina vikwazo vifuatavyo; Muajiriwa Serikalini nina miezi 7 Nipo mbali na vyuo Naitaji kusoma kwa Siri asijue mtu Kazini. Nipo Zanzibar Miaka 25 Anayefahamu utaratibu wa kusoma Chuo Kikuu Huria (Open), naomba anieleweshe? Au...
  11. A

    KERO Chuo Kikuu Huria (OUT) hawajatuweka matokeo mpaka sasa

    Niko hapa nimechanganykiwa kwanini hiki chuo hawataki kutuwekea matokeo yetu. Utaratibu ni kwamba matokeo yalitakiwa kuwa yamewekwa tokea mwezi wa 4 mwanzoni, ila mpaka sasa hatujui kwanini yamechelewa kutoka. Na cha kushangashaza ratiba ya kufanya mitihani imetoka mapema kabla ya mitihani...
  12. A

    KERO Open University of Tanzania (Chuo Kikuu Huria): Supervisors wafanye kazi zao waache uvivu na dharau kwa wanafunzi

    Kama wamekubali kuchukua ada zetumbon awnatudharau kiasi hiki. Ukiwa mwanafaunzi pale OPEN ndiyo utaona ada yako haina thamani kabisa na moja ya kitu najilaumu ni kuijiunga na hiki chuo. Kwa idadi ngo tuliyoko pale chuo ila vitu vinaendeshwa utafikiri pale ni UDOM au UDSM, halafu kwa makusudi...
  13. A

    KERO Kama Open University ni kwa ajili ya waajiriwa na wanasiasa watuambie tu

    Haiwezekani sisi wengine vitu vinakuwa vigumu kufanyika kwetu. Ishu ya mitihani kupotea ni jambo la kawaida sana pale chuoni, ishu ya kusahihishwa mitihani kwa muda mrefu hata miezi miwili japokuwa wanafunzi ni wachache pale ila ni kawaida sana, research kucheleshwa bila ya sababu ya msingi...
  14. M

    Kujiendeleza Open University

    Naomba kuuliza kama mtumishi wa umma (mwalimu) anataka kujiendeleza kupitia open university siku za mitihani inabidi awe anaomba ruhusa kwa mwajiri?. Au wazoefu mshawahi soma open mlikuwa mnafanyaje
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…