Chuo Kukuu Huria kimekuwa na tatizo sugu la kutopeleka taarifa NACTVET, watu wanamaliza masomo lakini wengine huwachukua mpaka miaka mitatu ndio taarifa zinatumwa NACTVET, na hapo mpaka uwe unafatilia.
Kama siyo mfuatiliaji inakula kwako.
Je, umeshawai kukutana na hii changamoto, embu...