nyumba ya mjane

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. USSR

    TANESCO na waziri Ndejembi hii sahihi mwaka unaisha na umeme mkubwa juu ya paa la nyumba ya mjane huyu

    [Jina lako kamili] [Anuani yako kamili – mtaa, kijiji/kata, wilaya] Simu: [Namba yako ya simu] Barua Pepe: [Ikiwa unayo] Tarehe: [Andika tarehe ya leo, mfano: 28 Julai 2025] Kwa: Meneja wa TANESCO Mkoa wa Pwani Nakala: Meneja wa TANESCO Wilaya ya Kibaha S.L.P [Weka anwani yao kama unayo]...
  2. J

    Tanzania imekuwa kama nyumba ya mjane

    Ndugu wanajamvi, ni kweli haya ninayoyasema! Tangu kuibuliwa Kwa MFUMO WA UCHAWA,yaani mfumo wa kumsifu RAIS na kumtetea, vimeibuka vikundi Vingi sana na watu wengi sana ambao Sasa wanaoitwa MACHAWA. Jambo hili limevuka mipaka Sasa ambako zimeanzishwa TAASISI mbadala za kuisemea serikali...
  3. Just Pray

    Mahakama yaamuru kupigwa mnada nyumba ya mjane ili kumfidia aliyeumia mguu kwa ajali ya bodaboda

    Mjane mmoja aliyejulikana kwa jina la Beatrice Lyimo, mkazi wa Mbezi Makabe, jijini Dar es Salaam, yupo kwenye maumivu makali baada ya mahakama kutoa uamuzi kuwa nyumba yake ipigwe mnada mnamo Machi 10, mwaka huu, ili alipwe fidia abiria aliyekuwa amebebwa na bodaboda kugongwa na gari lililokuwa...
  4. Waufukweni

    PreGE2025 Mary Chatanda ashiriki ujenzi wa nyumba ya mjane wa Nyama ya Swala, Maria Ngoda

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake wa CCM (UWT) Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa (MCC) Mary Pius Chatanda ameshiriki zoezi la ujenzi wa nyumba ya Maria Ngoda maarufu kama 'Mjane wa Nyama ya Swala' nyumba ambayo inajengwa kutokana na jumuiya hiyo kutoa kiasi cha fedha kwa ajili ya mkono...
Back
Top Bottom