Kitengo cha 'Sheria' pale Yanga huko nyuma kilijidhihirisha kuwa na mapungufu makubwa ya weledi.
Bwana Patrick Simon ndiye aliyekuwa mkuu Wa Kitengo alifeli sana Kwenye kesi nyingi za Yanga mpaka siku za karibuni akaamua ang'atuke.Ipo Mifano kama Kesi za Kina Morrison kule CAS na rufaa ya...
Huyo Ikangalombo amekuja Yanga kubana nafasi tu za vijana wetu akina Nkane
Nkane ni mzuri zaidi ya Ikangalombo
Nkane ana skills za football
Nkane ana speed
Nkane ana akili
Anajua ku cut in kuongeza namba ya viungo na washambuliaji inapotakiwa,
Ikangalombo anakimbia kama amekatwa kichwa au...
Mtasababisha akamiwe kupitiliza kwa upuuzi wenu wa kumpa sifa nyingi kwa mechi Moja.
Nkane usivimbe kichwa kwa sifa za kipumbavu. Kataa sifa hizo za wajinga ongeza juhudi kazini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.