Mwenzenu maisha ni kama yananichanganya maana suala la mlo limekuwa kizungumkuti.
Najikuta mzunguko wa chakula changu ni ule ule
- wali, samaki, maharage
- Ugali, samaki, dagaa, vegetables, Viazi
Kiasi kwamba nimefikia hatua naghairisha kula kwasababu sioni kipya Cha kupika au kupikiwa...