Wew si ndie ulikuwa waziri wa mambo ya ndani, uliekua na dhamana juu ya ulinzi wa wananchi na utendaji kazi wa vyombo vya usalama nchini??
Sasa najua unajua mengi kuliko MTanganyika yeyote yule juu ya yaliyotukia 29 October !!
Hivyo basi kujua kwako mengi kumekuweka katika hatari kubwa .Na...
Yer 46:11 SUV
[11] Panda uende Gileadi, ukatwae zeri, Ee binti, bikira wa Misri; unatumia dawa nyingi bure tu; hupati kupona kamwe.
Hukumu hii ilikuwa kwa Misri, nikimwanisha andiko hili linaonyesha hukumu dhidi ya Misri, taifa hili lilikuwa linajivunia nguvu zake za kijeshi na kisiasa.
Hii...
Ipo tofauti kati ya wateule wa mungu na wateule wa shetani ibilisi Lucifer mkuu wa Giza !
Wateule wa mungu huingia madarakani kwa kura halali hawakuibia haki ya mtu Wala hawakunyang'anya kura ya mtu !! Chama Cha siasa kilichopewa kibali na Mungu hakiibi Wala kuumiza raia ili kupata haki ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.