Tanzania ya sasa siyo taifa, ni cartel inayojificha ndani ya mfumo wa kikatiba. Tumegeuka kuwa nchi ya maigizo, ambapo wahalifu wakubwa siyo tena wale wanaopora kwa bunduki bali wale wanaosaini mikataba hewa kwenye boardrooms wakiwa na wine glass mkononi na fake smile usoni. Tumefika mahali...
Miaka 18, umemaliza kidato cha sita. Umebeba ndoto zako zote mgongoni kama mzigo mwepesi, macho yako yanang’aa kwa matumaini. Unajiambia, “Nikimaliza chuo nitayabadilisha maisha ya familia yangu.” Miaka 22, degree mkononi, lakini huna pa kwenda.
Dunia haijakukaribisha kama ulivyotarajia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.