ndoto mbaya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. FORBIDDEN HISTORY

    Niliwahi tumia chumvi kuzungushia katika kila angle ya kitanda, usiku nilihangaika sana kulala, ndoto mbaya na taflani kubwa ambayo sijawahi ona

    Sina cha kufaidika kuwadanganya katika hili ila ndio hali ilionipata usiku huo. Wala sikulala na taharuki na wlaa sikulala katika mawazo ya kitanda changu kuwa chumvi ila nilipitia hali ngumu aisee Ningependa kupata elimu nzuri kuhusu chumvi hii ya mawe, ili tusaidiane namna nzuri ya kuitumia
  2. Desierto

    Baada ya kutengana na mwanamke nimeota ndoto mbaya

    Hii ndoto nimeiota saa nane usiku na usingizi ukayeyuka kabisa Ni mwezi mmoja sasa unaishia toka ameenda kwao mpaka sasa hajarudi Kisa cha kutorudi ni kwasababu wakati anaondoka nilimwambia asiende hivo nikakuta ameenda kwao kulikuwa na sherehe. Lengo ilikuwa sio kumzuia lengo nilikuwa tu...
  3. The redemeer

    Jinsi lango la ndoto linavyomaliza watu Kiuchumi, mahusiano, kiroho, kiafya nk

    MWANADAMU anapolala huota ndoto nyingi sana kwa usiku mmoja. Na Sio usiku tu hata ukilala mchana utaota tu. Kwa kawaida ndoto zipo za aina nyingi. Mtu anaweza kuota sababu ya reflection yake na mihangaiko ya maisha. Mtu anaweza ota ndoto sababu labda Kuna ugonjwa unamsumbua au ameugua muda...
  4. mr pipa

    Ndoto za hivi zina maana gani??

    Huwa nikilala usiku mfano nikaota ndoto ikatokea nimestuka usingizini Then nikatoka nje then nikija nikilala tena huwa ile ndoto inaanzia palepale nilipoishia. Pale nilipostuka Na hata nikistuka tena Hujirudia mpaka pale ile ndoto inapoishia sasa sijaelewa hiyi inamaana gani kwangu Ni muda...
  5. Davidmmarista

    Ndoto 20 zinazoweza kukufunga kwenye umaskini bila kujua – Tafsiri yake itakushangaza!

    Wadau wa JamiiForums, Habari za wakati huu. Natumaini mnaendelea vyema katika shughuli zenu za kila siku. Leo ningependa tujadili mada yenye umuhimu mkubwa katika maisha yetu: "Ndoto 20 Zinazoashiria Vikwazo vya Maendeleo Kifedha". Maana ya Ndoto Ndoto ni mfululizo wa taswira, mawazo, hisia, na...
  6. Da Vinci XV

    Kwanini tunaota ndoto mbaya tukilala wakati wa mchana

    Na Da Vinci XV Nyakati fulani wakati nadurusu maandiko matakatifu nilipata kukutana na andiko moja lililandikwa na watu miongoni mwa watu mashuhuri sana walioishi nyakati zile kabla ya Masiku tele. Andiko lilipata kusema " KWA MAANA JINSI HII MUNGU ALIUPENDA ULIMWENGU, HATA AKAMTOA MWANAWE...
  7. RoadLofa

    Ndoto ya mbwa mwitu

    Nimeota tumeenda nyikani mi na rafiki yangu mmoja ambaye simkumbuki vizuri ila nakumbuka kama alikuja kunipitia ninapokaa Tukaenda porini/nyikani mbali kidogo na tunapoishi mara tukawaona sungura tukavutiwa kuwakamata na tukaanza kuwafuatilia Ili tuwakamate,ghafla tukamuona mbwa mwitu kwa...
  8. Pule

    Je hivi ni kweli Kuna baadhi ya watu Huwa hawaoti kabisa ?

    Habari za wakati huu. Niko na swali Moja la kuuliza nahitaji msaada.Je hivi ni kweli Kuna baadhi ya watu Huwa hawaoti kabisa Yani hawapati ndoto? Na kama ni kweli sababu ni nini? Nimejaribu kufuatilia machapisho mbalimbali pasipo kupata majibu.
  9. Mhafidhina07

    Hivi unatambua ndoto mbaya sometimes zinakupa taarifa za ugonjwa wako katika mwili?

    achana na mambo ya sihri/uchawi mwanadamu ni kiumbe kikubwa sana ila kwa bahati mbaya hatujitambui sisi ni nani. ndani ya miili yetu there's something called Subconscious mind it work as server katika mfumo wako wa ubongo unakawaida wa kuleta kukusanya na kuleta taarifa hasa ukiwa...
  10. M

    Ndoto ya kubadilishiwa mtoto ina maana gani?

    Jamani naombeni mnisaidie sidhani kama nimepost kwenye jukwaa husika lakini kuna ndoto imenichanganya nmeota kwamba,nmejifungua mtoto hospitali lakini akawa katika uangalizi cha kushangaza nilijufungua mtoto wa kiume lakini akabadirishwa akawekwa wa kike nikawa napiga kelele wodini kutaka kujua...
  11. Paul Alex

    Ndoto yangu ya utotoni inajirudia sana. Ni nini hiki?

    Sijui ndoto zina maanisha nini, ila nikiwa mdogo Sana, nadhani darasa la tano au sita niliota ndoto mbaya sana kwenye maisha yangu. Nililia usiku kucha, asubuhi mama akanipa rosari na bibi akanipa kibronchure za Yoseph Yuda Tade. Niliota vita, damu nyingi imemwagika, nikawa naenda maeneo hata...
Back
Top Bottom