Ndege mjanja hunaswa na tundu bovu
Na Ahmed Rajab
SIJUI kwa nini hasa, ingawa nina hakika sababu ninazo, lakini tangu juzi akili yangu imetekwa na ndege na kasisi. Imekuwa ikivutwa na kuvutiwa na viumbe hivyo.
Nimekuwa nikiufikiria ujanja wa ndege na nikiyakumbuka maneno ya Martin Niemöller...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.