nchi za brics

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Zanzibar Echo

    Donald Trump atishia ushuru mpya kwa nchi za BRICS

    Rais wa Marekani Donald Trump siku ya Jumapili Julai 6, 2025 ametangaza kwamba ataweka ushuru wa mpya wa 10% kwa nchi zinazoambatana na sera za BRICS "za kupinga Marekani".Rais wa Marekani Donald Trump ametishia siku ya , Julai 6, 2025, kuweka ushuru mpya wa 10% kwa nchi za BRICS, kundi la nchi...
  2. I

    India yaikataa sarafu ya Brics na Dollar na yaapa kuendelea kutumia dola ya Marekani

    Serikali ya Modi (waziri mkuu wa India) inaweka msingi juu ya maadili ya uondoaji wa dola na kutoa njia kwa dola ya Marekani kustawi. Mwanachama wa BRICS India kwa mara nyingine tena amekataa matarajio ya sarafu mpya na kusifu dola ya Marekani kwa kudumisha utulivu wa kimataifa. Waziri wa Mambo...
  3. Mindyou

    Uganda yajiunga rasmi na BRICS na kuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki kuwa mwanachama

    Wakuu. Taifa la Uganda linaloongozwa na Yoweri Museveni rasmi sasa limejiunga rasmi na BRICS kama moja ya nchi mshirika hivyo kuifanya Uganda kuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki kujiunga na Jumuiya hiyo Kufuatia uamuzi huo, Uganda sasa inajiunga na Belarus, Bolivia, Cuba, Indonesia...
  4. G

    Trump: Nchi za BRICS zenye mpango wa kuikwepa Dola ya Marekani zitakumbana na ushuru wa asilimia 100, Wanaweza kwenda kutafuta “mjinga” mwingine

    BRICS = Brazi, Russia, India, China, South Africa Kaandika kwenye ukurasa wake wa Twitter Wazo kwamba nchi za BRICS zinajaribu kuachana na Dola ya Marekani huku tumekaa na kuwatazama LIMEKWISHA! Tunahitaji ahadi kutoka kwa nchi hizi kwamba hawataunda Sarafu mpya ya BRICS, wala kuunga mkono...
Back
Top Bottom