Habari wanajamvi
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka
Mimi ni mfugaji wa nguruwe napatikana maeneo ya Ntyuka Dodoma. Nauza dume kubwa kabisa kwa mahitaji ya kufuga au Kuchinja
Umri: mwaka mmoja
Aina: largewhite *landrace
Mawasiliano: 0672493720/ 0717201982
Habari wakuu, Mimi ni mfugaji wa nguruwe napatikana Mwanza, nauza nguruwe watoto na wakubwa kwa wanaohitaji nguruwe wa kufuga, mbegu bora kabisa.
Karibuni sana 0719832015
Habari. Nauza Nguruwe.
Madume yaliyo hasiwa Yapo.
Madume ya Mbegu Yapo.
Na Majike ya Mbegu Yapo.
Ukihitaji Nyama.
Kilo 1 ni Tshs 8,000/=
Kama unataka Nguruwe, au Kula Nyama ya Nguruwe.
Piga simu au tuma Message kupitia namba +255738141339 au +255714313711
Kama upo WhatsApp, tumia namba hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.