nauza nguruwe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. L

    Nauza nguruwe dume niko Dodoma

    Habari wanajamvi Kama kichwa cha habari kinavyosomeka Mimi ni mfugaji wa nguruwe napatikana maeneo ya Ntyuka Dodoma. Nauza dume kubwa kabisa kwa mahitaji ya kufuga au Kuchinja Umri: mwaka mmoja Aina: largewhite *landrace Mawasiliano: 0672493720/ 0717201982
  2. D

    Nauza nguruwe watoto na wakubwa kwa wanaohitaji wa kufuga

    Habari wakuu, Mimi ni mfugaji wa nguruwe napatikana Mwanza, nauza nguruwe watoto na wakubwa kwa wanaohitaji nguruwe wa kufuga, mbegu bora kabisa. Karibuni sana 0719832015
  3. Tipperhendrix

    Ninafuga, Ninachinja na Kuuza Nguruwe

    Habari. Nauza Nguruwe. Madume yaliyo hasiwa Yapo. Madume ya Mbegu Yapo. Na Majike ya Mbegu Yapo. Ukihitaji Nyama. Kilo 1 ni Tshs 8,000/= Kama unataka Nguruwe, au Kula Nyama ya Nguruwe. Piga simu au tuma Message kupitia namba +255738141339 au +255714313711 Kama upo WhatsApp, tumia namba hii...
Back
Top Bottom