Kwanza kabisa huu uzi sio wa nia mbaya yoyote ile nimeanza kulisema hili mapema waswahili wanasema kuuliza si ujinga tunauliza ili tujifunze na kwa nia ya kujipatia elimu na maarifa
Na mimi nimeona nijifanye sijuwi lolote ili nielimike.
Naombeni mnijibu maswali yafuatayo ambayo yananipa utata...
Habari zenu Wana JF,
Leo tujikite kwenye swala hili ambalo kimsingi ndio chimbuko la mgawanyiko wa maslahi ya watu fulani fulani. Nimekuwa nikipitia pitia vyanzo vingi ili kujua ni nani walioanzisha BAKWATA ambayo mpaka muda huu imekuwa ikilalamikiwa na Waislamu wengi kuwa ipo chini ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.