kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,888
Kwanza kabisa huu uzi sio wa nia mbaya yoyote ile nimeanza kulisema hili mapema waswahili wanasema kuuliza si ujinga tunauliza ili tujifunze na kwa nia ya kujipatia elimu na maarifa
Na mimi nimeona nijifanye sijuwi lolote ili nielimike.
Naombeni mnijibu maswali yafuatayo ambayo yananipa utata na yanawaacha watu na alama ulizo kichwani?
1. BAKWATA ilianzishwa na nani?
2. BAKWATA inafadhiliwa na nani?
3. Kwanini BAKWATA iwe ni baraza tu maana ya neno baraza navyoelewa ni kikundi cha watu wateuliwa kwajili ya jambo fulani na sio mamlaka kamili
4. Kwanini taasisi ya mwanzo ya waislam ya East Africa muslim welfare society ilipigwa marufuku nchini?
5. Ni nani aliye nyuma ya BAKWATA?
6. Kwanini ukiigusa BAKWATA umeigusa serikali na chama?
7. Je, ni kweli kwamba BAKWATA ni tawi la chama fulani?
8. Je, ni kweli kwamba Baba wa taifa alianzisha BAKWATA kwa kutumia usalama wa taifa
9. Miaka 50 ya BAKWATA kwanini hawajafanya maendeleo yoyote kwa waislam huku taasisi ndogo na changa kama islamic foundation tayari muda mfupi tu wana TVs na redio na mashule ya kisasa?
10. Kwanini BAKWATA mara nyingi husimamia upande wa serikali au chama fulani tu?
11. Kwanini BAKWATA ipo kama vile sio kwa ajili ya watu husika inayopaswa kuwasimamia ipo kama vile ipo kinyume nao?
MY TAKE: nimehoji hayo kama kujifunza wala sijahoji kwa nia mbaya, sote tupo hapa JF kujifunza na sio mengineyo
Na mimi nimeona nijifanye sijuwi lolote ili nielimike.
Naombeni mnijibu maswali yafuatayo ambayo yananipa utata na yanawaacha watu na alama ulizo kichwani?
1. BAKWATA ilianzishwa na nani?
2. BAKWATA inafadhiliwa na nani?
3. Kwanini BAKWATA iwe ni baraza tu maana ya neno baraza navyoelewa ni kikundi cha watu wateuliwa kwajili ya jambo fulani na sio mamlaka kamili
4. Kwanini taasisi ya mwanzo ya waislam ya East Africa muslim welfare society ilipigwa marufuku nchini?
5. Ni nani aliye nyuma ya BAKWATA?
6. Kwanini ukiigusa BAKWATA umeigusa serikali na chama?
7. Je, ni kweli kwamba BAKWATA ni tawi la chama fulani?
8. Je, ni kweli kwamba Baba wa taifa alianzisha BAKWATA kwa kutumia usalama wa taifa
9. Miaka 50 ya BAKWATA kwanini hawajafanya maendeleo yoyote kwa waislam huku taasisi ndogo na changa kama islamic foundation tayari muda mfupi tu wana TVs na redio na mashule ya kisasa?
10. Kwanini BAKWATA mara nyingi husimamia upande wa serikali au chama fulani tu?
11. Kwanini BAKWATA ipo kama vile sio kwa ajili ya watu husika inayopaswa kuwasimamia ipo kama vile ipo kinyume nao?
MY TAKE: nimehoji hayo kama kujifunza wala sijahoji kwa nia mbaya, sote tupo hapa JF kujifunza na sio mengineyo