Wakuu, kwa hali ya kisiasa ya style hii katika nchi, kuna harufu pengine jeshi lililo upande wa wananchi likaingilia kati, ipo siku tutalala tukiongozwa na Rais tunayemjua tukaamka na mamlaka ya kijeshi kama ilivyo huko 🇧🇫, 🇲🇱 na 🇳🇪.
Disclaimer: Mimi ni mwanachama wa CCM.
Siasa zinagusa maisha ya kila siku ya mwanadamu kwani sera zinazotungwa au maamuzi yanayofanywa na wanasiasa yana athiri moja kwa moja maisha ya kila mtu.
Mtu unaweza ukadhani kuwa Watanzania wengi hawafuatilii siasa; sio kweli, watu wanafuatilia siasa...
Ni dhahiri Tanzania hakuna upinzani wote wametiwa mfukoni.
naiona ccm ikitawala kwa muda mrefu sana great than 150yrs.
It's very painful.
NB: mimi sio mwa CCM.
Ukiangalia trend ya siasa za Bongo ni kuchomana ili flani aonekane mbaya hafanyi kazi atumbuliwe watu wafurahi ilhali hata tatizo la msingi halijatatuliwa.
Watanzania wengi wanafurahia kutumbuliwa kwa watu kuliko mabadiliko yatakayoletwa kwa kutumbuliwa kwa watu husika.
Vyama vya upinzani ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.