mwenendo wa siasa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mshale21

    Kwa mwenendo huu, siku moja serikali ya Tanzania itakuwa ya kijeshi

    Wakuu, kwa hali ya kisiasa ya style hii katika nchi, kuna harufu pengine jeshi lililo upande wa wananchi likaingilia kati, ipo siku tutalala tukiongozwa na Rais tunayemjua tukaamka na mamlaka ya kijeshi kama ilivyo huko 🇧🇫, 🇲🇱 na 🇳🇪.
  2. P

    PreGE2025 Nafuatilia mwenendo wa siasa mitandaoni na mitaani: haya hapa ni maoni yangu

    Disclaimer: Mimi ni mwanachama wa CCM. Siasa zinagusa maisha ya kila siku ya mwanadamu kwani sera zinazotungwa au maamuzi yanayofanywa na wanasiasa yana athiri moja kwa moja maisha ya kila mtu. Mtu unaweza ukadhani kuwa Watanzania wengi hawafuatilii siasa; sio kweli, watu wanafuatilia siasa...
  3. Red black

    Truth : kwa mwenendo wa siasa za Tz naiona ccm ikitawala kwa muda mrefu

    Ni dhahiri Tanzania hakuna upinzani wote wametiwa mfukoni. naiona ccm ikitawala kwa muda mrefu sana great than 150yrs. It's very painful. NB: mimi sio mwa CCM.
  4. S

    Siasa za Tanzania ni za kukomoana zisizo na manufaa kwa taifa

    Ukiangalia trend ya siasa za Bongo ni kuchomana ili flani aonekane mbaya hafanyi kazi atumbuliwe watu wafurahi ilhali hata tatizo la msingi halijatatuliwa. Watanzania wengi wanafurahia kutumbuliwa kwa watu kuliko mabadiliko yatakayoletwa kwa kutumbuliwa kwa watu husika. Vyama vya upinzani ni...
Back
Top Bottom