mwapachu

Juma Volter Mwapachu (born 27 September 1942 in Mwanza, Tanzania) is a Tanzanian politician and former Secretary General of the East African Community. He replaced Amanya Mushega of Uganda who completed his five-year term on March 24, 2006.

View More On Wikipedia.org
  1. Mohamed Said

    Khitma ya Juma Mwapachu

    KHITMA YA JUMA MWAPACHU Ndugu na jamaa leo walikusanyika nyumbani kwa Juma Mwapachu kusoma khitma. Mtume SAW kifo kinatosha kuwa mawaidha. Kwangu binafsi kuwa kwenye nyumba ile kulirejesha kumbukumbu nyingi za furaha nikiwa na marehemu ukumbini kwake tukizungumza mengi. Halikadhalika katika...
  2. Mohamed Said

    Moyo Mwema wa Juma Volter Mwapachu

    MOYO MWEMA WA JUMA MWAPACHU Tulikuwa tumeshamaliza kuzika taratibu tunarudi kwenye magari yetu tuondoke Pande turejee Tanga mjini. Akanijia mmoja wa vijana walionipokea Tanga nilipohamia mwaka wa 1997. Nitamtaja kwa jina moja tu la kificho "Mwinyi." Mwinyi alikuwa kati ya rafiki zangu...
  3. Mohamed Said

    Kutoka Mazikoni: Chirau Ali Mwakwere, Juma Mwapachu na Ally Sykes

    KUTOKA MAZIKONI: CHIRAU ALI MWAKWERE, JUMA MWAPACHU NA ALLY SYKES Ally Sykes hakupata kunieleza kama alipata kukutana na Chirau Ally Mwakwere. Ali Mwakwere ndiyo kanifahamisha jana tukiwa Pande kumzika Juma Mwapachu. Pande iko kilomita kiasi cha 10 kutokea Tanga mjini na ndiyo kijiji...
  4. Amina Thomas

    TANZIA Harith Mwapachu afariki

    Mtoto wa mh. Juma Mwapachu, Harith, amefariki ghafla leo alfajiri. Inna lillahi wa inna illaihi raj'un
Back
Top Bottom