Juma Volter Mwapachu (born 27 September 1942 in Mwanza, Tanzania) is a Tanzanian politician and former Secretary General of the East African Community. He replaced Amanya Mushega of Uganda who completed his five-year term on March 24, 2006.
KHITMA YA JUMA MWAPACHU
Ndugu na jamaa leo walikusanyika nyumbani kwa Juma Mwapachu kusoma khitma.
Mtume SAW kifo kinatosha kuwa mawaidha.
Kwangu binafsi kuwa kwenye nyumba ile kulirejesha kumbukumbu nyingi za furaha nikiwa na marehemu ukumbini kwake tukizungumza mengi.
Halikadhalika katika...
MOYO MWEMA WA JUMA MWAPACHU
Tulikuwa tumeshamaliza kuzika taratibu tunarudi kwenye magari yetu tuondoke Pande turejee Tanga mjini.
Akanijia mmoja wa vijana walionipokea Tanga nilipohamia mwaka wa 1997.
Nitamtaja kwa jina moja tu la kificho "Mwinyi."
Mwinyi alikuwa kati ya rafiki zangu...
KUTOKA MAZIKONI: CHIRAU ALI MWAKWERE, JUMA MWAPACHU NA ALLY SYKES
Ally Sykes hakupata kunieleza kama alipata kukutana na Chirau Ally Mwakwere.
Ali Mwakwere ndiyo kanifahamisha jana tukiwa Pande kumzika Juma Mwapachu.
Pande iko kilomita kiasi cha 10 kutokea Tanga mjini na ndiyo kijiji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.