As a man, you can’t stop spending. Just Pray you don’t stop earning.
Matumizi kwa mwanaume hayakwepeki, ogopa tu siku ambayo utaishiwa pesa.
kusanya mzigo wa kutosha uweze kukusaidia uzeeni ufe kwa heshima.
Kuvaa, kula, pango, usafiri, n.k. ni juu yako
Kupata mpenzi utahitaji kutumia pesa...
Kama mwanaume, inakuwaje unakubali na kuamua kuwa watoto wako walelewe na mke wako pekee na si wewe pia kama baba katika familia?
Nadhani ni muhimu kuuliza, kwa nini mwanaume angeweza kuchukua maamuzi ya kumwacha mke wake peke yake kubeba jukumu la malezi ya watoto kwenye ulimwengu huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.