muhtasari matukio 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JF Summary

    Muhtasari wa Matukio Muhimu Tanzania - Novemba 25, 2025

    Watuhumiwa 202 wa kesi ya uhaini waachiwa huru Dar na Arusha, 18 warudishwa rumande Watuhumiwa 198 kati ya washtakiwa 216 waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka ya uhaini, kufuatia maandamano wakati wa Uchaguzi, wameachiwa huru leo Novemba 25, 2025 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar...
  2. JF Summary

    Muhtasari wa Matukio Muhimu Tanzania - Novemba 24, 2025

    Wakfu wa Thabo Mbeki wasema Tanzania Haina Serikali Halali Baada ya Uchaguzi Mkuu, yasisitiza mazungumzo ya wazi Wakfu wa Thabo Mbeki umetoa taarifa ukieleza kwa masikitiko makubwa kuwa Uchaguzi Mkuu wa Tanzania wa Oktoba 29, 2025 haukutimiza kanuni za kidemokrasia, baada ya waangalizi wa SADC...
  3. JF Summary

    Muhtasari wa Matukio Muhimu Tanzania - Novemba 23, 2025

    Serikali yavitaka vyombo vya habari vya nje kutozingatia weledi na taratibu za uandishi, yasisitiza nchi ipo salama Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa, amesema serikali ya Tanzania imesikitishwa na ongezeko la vyombo vya...
  4. JF Summary

    Muhtasari wa Matukio Muhimu Tanzania - Novemba 22, 2025

    Mbeya: Polisi wakiri kumshikilia Clemence Mwandambo kwa tuhuma za Uchochezi Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limesema limemkamata mtengeneza maudhui mtandaoni na Mwalimu wa Shule ya Awali ya Mtakatifu Clemence, Clemence Kenani Mwandambo, mkazi wa Uzunguni “A”, kwa tuhuma za kutoa na kusambaza...
  5. JF Summary

    Muhtasari wa Matukio Muhimu Tanzania - Novemba 21, 2025

    CNN waachia ripoti ya uchunguzi wa mauaji wakati wa uchaguzi, wasema huenda kaburi la halaiki lipo katika Makaburi ya Kondo, Dar Kituo cha Habari cha Kimataifa cha Cable News Network (CNN) kimeachia ripoti yake ya uchunguzi kuhusu mauaji ya raia wakati wa uchaguzi mkuu nchini Tanzania...
  6. JF Summary

    Muhtasari wa Matukio Muhimu Tanzania - Novemba 20, 2025

    Samia azindua Tume ya Uchunguzi wa ‘Matukio ya Uvunjifu wa Amani’ wakati wa Uchaguzi, ataka uchunguzi kauli za upinzani, ushiriki wa NGO na madai ya vijana kulipwa kufanya vurugu Rais Samia amezindua rasmi Tume ya Uchunguzi wa ‘Matukio ya Uvunjifu wa Amani’ wakati na baada ya Uchaguzi, akisema...
  7. JF Summary

    Muhtasari wa Matukio Muhimu Tanzania - Novemba 18, 2025

    Samia aunda tume Kuchunguza ‘Matukio ya Uvunjifu wa Amani’ wakati wa uchaguzi, itaongozwa na Jaji Mkuu mstaafu Othman Chande Rais Samia ameunda Tume ya Uchunguzi kwa ajili ya kuchunguza ‘matukio ya uvunjifu wa amani’ yaliyotokea nchini Tanzania wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, na...
  8. JF Summary

    Muhtasari wa Matukio Muhimu Tanzania -Novemba 17, 2025

    Lissu aiomba Mahakama Kuu aunganishwe kama mdaiwa kwenye kesi ya Mgawanyo wa Mali za Chama Mkurugenzi wa Mambo ya Sheria na Haki za Binadamu wa CHADEMA, Gaston Shundu Garubindi, kupitia mtandao wa X amesema kuwa Mwenyekiti wa Chama hicho, Tundu Lissu, ameomba kuunganishwa kama mdaiwa kwenye...
  9. JF Summary

    Muhtasari wa Matukio Muhimu Tanzania - Novemba 16, 2025

    Serikali yakanusha video ya miili kuonekana Hospitali ya Mwananyamala, yadai imetengenezwa kuleta taharuki Serikali kupitia Wizara ya Afya imekanusha madai yaliyosambaa mtandaoni kuanzia Novemba 15 usiku kupitia video ambayo ilikuwa inaonyesha miili ya watu waliofariki ikiwa imelezwa sakafuni na...
  10. JF Summary

    Muhtasari wa Matukio Muhimu Tanzania: Novemba 15

    TEC yalaani mauaji ya raia Oktoba 29. Yataka uwajibishwaji wa viongozi wa vyombo vya usalama, uchunguzi huru kufanyika na Katiba Mpya Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limetoa tafakuri yake juu ya yale yaliyotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, likilaani mauaji, utekaji, kuumizwa na...
  11. JF Summary

    Muhtasari wa Matukio Muhimu Tanzania: Novemba 12

    Chama cha Mawakili wa Serikali chalaani vikali vurugu na maandamo ya Oktoba 29, wadai maandamano hayakuwa halali Chama cha Mawakili wa Serikali Tanzania (TPBA) kimelaani vikali vurugu, mauaji na uharibifu wa mali vilivyotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu 2025, na kutoa pole kwa waathirika huku...
  12. JF Summary

    Muhtasari wa Matukio Muhimu Tanzania - Novemba 13

    Mawakili Mwabukusi na Mpoki wahojiwa kwa makosa ya ‘kuhamasisha maandamano ya Desemba 9 kwa Lengo la Kuvunja Muungano’ Jana, Novemba 12, Wakili Mwandamizi, Mpale Kaba Mpoki alipokea wito kutoka kwa Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya ya Kawe akitakiwa kufika Kituo cha Polisi Mbweni leo Novemba 13...
Back
Top Bottom