mufti wa tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DuaZaMama

    PostGE2025 Mufti wa Tanzania: Tunawasihi waislamu kutokujihusisha na maandamno ya Desemba 9

    "Tuepuke upepo mbaya unaosambazwa kwa chuki za kidini, sisi waisalam Mungu hatuktazi kuishi kwa wema na wasiokuwa waislam, maisha ya watu lazime yalindwe nawasihi wote wanaohamasisha matendo ya kuvuruga amani tarehe 9 au 25 waache, pia nawaomba viongozi wa dini zote kuendelea kuwa watulivu hata...
  2. President of China

    PostGE2025 Sheikh Mkuu na Mufti wa Tanzania - Abubakar Zuber bin Ally aagiza Dua ya Qunuti kusomwa baada ya kila Sala

    AGIZO LA SHEIKH MKUU NA MUFTI WA TANZANIA "Assalaam alaikum. Nimewaagiza Mashekhe wote Nchini kuanzia Mikoa, Kata na Wilaya pamoja na Maimamu wa Misikiti yote Nchini Kuleta Dua ya Qunuti baada ya kila Sala. Dua hii Maalum kwa ajili ya kuendelea kumlilia na kumuomba M/Mungu Mtukufu aendelee...
  3. U

    Uteuzi: Katibu mkuu bakwata ateua kamati kuandaa maadhimisho miaka kumi ya Mufti Shehe mkuu Abubakar Bin Zubeir

    KATIBU MKUU BAKWATA ATEUA KAMATI KUANDAA MAADHIMISHO YA MIAKA KUMI YA YA UONGOZI MAKINI NA IMARA WA MHES MUFTI........... Mh. Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) Alhaj Nuhu Jabir Mruma Ashighatiiniy Almwangawiy ameteua kamati maalum kuandaa maadhimisho ya miaka kumi...
  4. U

    Sheikh Kishki: Tuna bahati sana ya kuwa na Mufti anayekubalika kitaifa na kimataifa

    "Sisi waislamu wa Tanzania tunashukuru sana Allah kwa sababu sasa mufti tuliyenaye anakubalika sana. Taasisi za kitaifa na kimataifa na serikali za nchi mbalimbali duniani kote huko Mufti wetu anakubalika sana..."TUNA BAHATI YA KUWA NA MUFTI ANAYEKUBALIKA" "Awali tulishuhudia mashindano makubwa...
Back
Top Bottom