mtandao kwenye uchaguzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. W

    Rais Samia atoa pole kwa wageni kutoka nje kufuatia kukatika kwa intaneti na usumbufu wa huduma wakati wa uchaguzi

    Rais Samia Suluhu Hassan amesema mwaka 2025, Tanzania ilifanya uchaguzi wake mkuu wa saba ambao ulikuwa na mafanikio makubwa ikiwamo kufikia asilimia 44 ya wabunge wanawake na kwamba uchaguzi huo uligharamiwa kwa fedha za ndani. Licha ya mafanikio hayo, pia Rais Samia amebainisha changamoto...
  2. Cute Wife

    GE2025 Mitandao ya YouTube, TikTok na Signal imeliwa kichwa kama X na Telegram. Facebook, Instagram na WhatsApp kufuatia?

    Wakuu, Mpaka sasa motandao ya Youtube, TikTok na Signal imeliwa kichwa, haipatikani mpaka utumie VPN, yote hii ikiwa ni kuzuia wananchi kupata taarifa wakati muhimu kabisa wa uchaguzi ambao wananchi wana haki na wanastahili kupata taarifa kujua kinachoendelea katika siku muhimu inayoenda...
  3. Cute Wife

    PreGE2025 Hii battle kati ya VPN na mitandao ya kijamii ni balaa, tutafika Oktoba tukiwa tumechoka sana!

    Wakuu, Hivi mnapitia kama nnachopitia mimi? Kwasababu natumia sana Telegram naazimika kutumia VPN ili mambo yaende baada ya kupigwa pini na wajomba. Sasa kazi inaanza ukiwasha VPN unaweza kupata telegram lakini mitandao mingine inakata, ila usiku ukiingia mara nyingine (sio mara zote) Telegram...
  4. Cute Wife

    PreGE2025 Hali ya internet ikoje maeneo ulipo? Unaweza kuperuzi kwenye mitandao ya kijamii bila shida?

    Wakuu salam, Hivi karibuni internet imekuwa changamoto kweli, wakati mwingine unakuwa huwezi kufanya chochote zaidi ya kucheza game. Kadri siku zinavyoenda hali inazidi kuwa mbaya Na hii ni kwenye mitandao yote, unataka kununua umeme unaambiwa mtandao unasumbua, una ka intavyuu ka mtandaoni...
Back
Top Bottom