Muswada tata unaolenga kufanya iwe kosa la jinai kwa wanasiasa kudanganya wakati wa kampeni za uchaguzi nchini Wales umeibua mjadala mkali kuhusu uhuru wa kujieleza na mustakabali wa demokrasia.
Serikali ya Labour ya Wales imewasilisha muswada unaopendekeza kuanzishwa kwa kosa la kisheria kwa...
Wanaukumbi.
Bunge la Iran limepitisha muswada wa kusimamisha ushirikiano na Shirika la Kimataifa la Kudhibiti Nguvu za Atomiki, IAEA. hatua iliyochukuliwa kufuatia vita kati ya Israel na Jamhuri hiyo ya kiislamu.
Spika wa Bunge Mohammad Bagher Ghalibaf hapo awali alitangaza kwamba mpango wa...
NAIROBI: Kijana Mkenya ahimiza wenzake kuendelea kuandamana, wakati akisubiri kupelekwa hospitali na ambulensi, mara tu baada ya kuumia. Pia, soma: LIVE: Yanayojiri Maandamano Kenya kupinga Mswada wa Sheria ya Fedha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.